Mama Anayenyonyesha: Mambo Muhimu Yakuzingatia Kwa
Kwa ajili ya ukuaji wa mtoto na kurejesha tishu za mama (nyama, samaki, maharagwe, mayai). Wanga: Kupata nguvu (nafaka zisizokobolewa, viazi, mihogo).
Vitu kama pombe na nikotini hupenya kwenye maziwa na vinaweza kumdhuru mtoto. Aidha, mama hapaswi kutumia dawa yoyote (hata za maumivu ya kawaida) bila kupata ushauri wa daktari, kwani baadhi ya kemikali huathiri ukuaji wa mtoto. 7. Afya ya Akili na Utulivu Mambo Muhimu Yakuzingatia Kwa Mama Anayenyonyesha
Vyakula kama uji wa ngano, shayiri (oats), na mboga za kijani hukisiwa kusaidia uzalishaji wa maziwa. 2. Kunywa Maji kwa Wingi Kwa ajili ya ukuaji wa mtoto na kurejesha